Tarehe 7, Julai, Ubalozi wa Tanzania nchini China umefanya maadhimisho ya Siku ya Kiswahili Duniani kwenye mtandao. Walimu na wanafunzi wa Kiswahili wa Chuo Kikuu cha Lugha za Kigeni cha Beijing (BFSU) wamealikwa kuungana nao katika maadhimisho hayo. Mkurugenzi wa Idara ya Kiswahili ya BFSU Bw. Zhao Lei ametoa hotuba inayopitia historia na maendeleo ya kozi ya Kiswahili tangu kuanzishwa kwake ...
Mnamo Juni 29, mahafali ya mwaka 2022 ya Chuo Kikuu cha Lugha za Kigeni cha Beijing yamefanyika kwenye mtandao. Mwaka huu, wanafunzi 2,279 wametunukiwa shahada ya kwanza, wanafunzi 1,201 wametunukiwa shahada ya uzamili na wanafunzi 85 wametunukiwa shahada ya uzamivu. Makamu wa Mwenyekiti wa zamani wa SCLF Bw. Tang Wensheng, Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Prof. Wang Dinghua na Mkuu wa Chuo K...
Mnamo tarehe 25 Juni, Kongamano la 10 la Tafsiri la Asia-Pasifiki lililoandaliwa na Shirikisho la Kimataifa la Watafsiri(FIT), Chama cha Tafsiri na Ukalimani cha China(TAC) na Chuo Kikuu cha Lugha za Kigeni cha Beijing(BFSU) limefunguliwa.Mkuu wa TAC Bw. Du Zhanyuan, Mkuu wa Chuo Kikuu cha BFSU Prof. Yang Dan, Mwenyekiti wa FIT Bw. Alison Rodriguez na Mwenyekiti wa Kitivo cha Tafsiri cha Chuo K...
Hivi karibuni, Wizara ya Elimu imetangaza orodha za kozi za hali ya juu katika ngazi ya kitaifa na ngazi ya kimkoa. Kozi 21 za BFSU zikiwemo Kihausa na Kiswahili zimeingia kwenye orodha ya kitaifa huku kozi nyingine 10 zimeingia orodha ya kimkoa ikiwa ni pamoja na Kizulu na Kiamhara. Kozi hizo zitapewa kipaumbele cha kujengwa katika miaka mitatu ijayo.Hadi sasa, kozi 54 za chuo chetu zimeorodh...
Kuanzia Mei 27 hadi 28, Kongamano la 2022 la Ushirikiano na Maendeleo ya Kikanda kati ya China, Japani na Korea Kusini lililoandaliwa na Chuo Kikuu cha Lugha za Kigeni cha Beijing (BFSU) limefanyika kwenye mtandao. Kaulimbiu ya kongamano hilo ni "Ushirikiano kati ya China, Japani, Korea Kusini na Asia Mashariki chini ya Ujumuishaji wa Kiuchumi wa Kikanda". Mkuu wa Chuo Kikuu cha BFSU Prof. Yan...
Mnamo Mei 13, Kongamano la Mageuzi na Maendeleo ya Elimu ya Msingi ya Lugha za Kigeni lililoandaliwa na Chuo Kikuu cha Lugha za Kigeni cha Beijing(BFSU) na Shirika la Ufundishaji na Utafiti wa Lugha za Kigeni(FLTRP) limezinduliwa.Mjumbe wa kudumu wa CCPCC Bw. Zhu Yongxin, Mkuu wa Idara ya Elimu ya Msingi ya Wizara ya Elimu Bw. Lv Yugang na Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha BFSU Prof. Wang ...
Mnamo Aprili 29, 2022, uzinduzi wa Jumuiya ya Utafiti wa Maeneo ya Kimataifa(CCAS) umefanyika katika BFSU.Jumuiya ya Utafiti wa Maeneo ya Kimataifa imeanzishwa na Muungano wa Vyuo Vikuu vya Lugha za Kigeni vya Duniani(GAFSU), ambayo ni mtandao wa kitaaluma unaojumuisha wasomi wa lugha zaidi ya 100 kutoka nchi 181.Mkuu wa Chuo Kikuu cha BFSU Prof. Yang Dan ametoa hotuba ya ukaribisho na kuelez...
Tarehe 19 Aprili, mkutano wa kutoa tuzo kwa kazi za Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi na Michezo ya Olimpiki ya Walemavu umefanyika katika Jumba la Makumbusho la Shougang.Timu ya wanaojitolea ya Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya BFSU na Kituo cha Huduma za Lugha Mbalimbali cha Beijing zimepata tuzo ya “Kundi Bora katika Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi na Michezo ya Olim...
Mnamo Aprili 1, mkutano wa nane wa Chama cha Tafsiri na Ukalimani cha China (TAC) umefanyika Beijing. Naibu Katibu Mkuu wa Idara ya Uenezi ya CPC Bw. Lv Yansong, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kimataifa ya Watafsiri Bw. Kevin Quarkna viongozi wengine wametoa hotuba katika hafla ya ufunguzi. Baraza jipya la uongozi limechaguliwa, na makamu mkuu wa Chuo Kikuu cha BFSU Prof. Sun Youzhong amechaguliwa k...