Tarehe 19 Novemba, Chama cha CPC Shina la Wizara ya Elimu limeteua Bw. Li Hai kuwa Katibu Mtendaji wa CPC shina la BFSU na Mwenyekiti wa Baraza la Chuo. Naibu Waziri wa Elimu Prof. Wang Jiayi amehudhuria kwenye mkutano na kutangaza uteuzi huo. Naibu Mkurugenzi wa Idara ya Rasilimali Watu ya Wizara ya Elimu Bw. Ge Yuanjie, Naibu Katibu Mtendaji wa Baraza la Elimu la Beijing Bw. Yu Chengwen na Mkuu wa ...
Chuo Kikuu cha Lugha za Kigeni cha Beijing(BFSU) kimeandaa video fupi zinazoonesha maendeleo ya China katika Zama Mpya. Video hizi zinafuatilia masuala ya uhalisia na usasa kama vile malipo kwa njia ya simu, huduma ya kidijitali ya vyakula, ustawishaji wa vijijini, mawasiliano ya kitamaduni, huduma ya upelekaji wa vyakula, baiskeli za umma n.k. Lugha za video hizo ni pamoja na Kichina, Kiingereza, ...
Tarehe 21 Novemba, Kongamano la Wakuu wa Vyuo Vikuu vya Asia (AUPF) limefanyika jijini Guangzhou. Kaulimbiu ya Kongamano hilo ni “Teknolojia Mpya na Ushirikiano wa Sekta Mtambuko: Kutafuta Njia Mpya ya Maendeleo Jumuishi ya Elimu ya Juu barani Asia”. Mkuu wa BFSU Prof. Jia Wenjian amehudhuria Kongamano hilo na kutoa hotuba yenye mada ya “Daraja la Mawasiliano Duniani: Jukwaa la Huduma ya Lugha la ...
Tarehe 13 Novemba, Malkia wa Uhispania Letizia Ortiz Rocasolano ametembelea Chuo Kikuu cha BFSU. Naibu Waziri wa Elimu Bw. Ren Youqun, Mkuu wa Idara ya Ushirikiano na Mawasiliano ya Kimataifa Bw. Yang Dan, Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Prof. Wang Dinghua, Mkuu wa Chuo Kikuu Prof. Jia Wenjian na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Prof. Zhao Gang wamekutana na wageni hao.Malkia Letizia na viongozi wengine ...
Tarehe 16 Oktoba, Mazungumzo ya Vyuo Vikuu kuhusu Utekelezaji wa “Makubaliano ya Mustakabali” yamefanyika katika Chuo Kikuu cha BFSU. Naibu Mkuu wa Idara ya Kimataifa ya Wizara ya Elimu Bw. Li Hai, Naibu Katibu Mkuu wa Sera wa Umoja wa Mataifa Bw. Guy Ryder, Mkuu wa Idara ya Utekelezaji wa Makubaliano ya Mustakabali wa Umoja wa Mataifa Bw. Themba Kaula, Afisa Mwandamizi wa Umoja wa Mataifa Bw. Siddharth ...
Tarehe 24 Oktoba, Kongamano la Tano la Wakuu wa Vyuo Vikuu vya Lugha za Kigeni Duniani (GAFSU) limefanyika katika Hangzhou. Mkuu wa Jumuiya ya Mawasiliano ya Kimataifa ya Elimu ya China Bw. Liu Limin, mkuu wa Chuo Kikuu cha BFSU Prof. Jia Wenjian, mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha Lugha za Kigeni cha Zhejiang Prof. Zhang Huanzhou na wakuu wengine wamehudhuria kwenye kongamano hilo.Kaulimbiu ya ...
Tarehe 15 Oktoba, Makamu wa Rais wa Bulgaria Bi. Iliana Iotova ametembelea Chuo Kikuu cha BFSU. Mkuu wa BFSU Prof. Jia Wenjian amekutana na mgeni huyo na msafara wake. Prof. Jia Wenjian ameeleza habari fupi za BFSU na matumaini ya BFSU ya kushirikiana na serikali ya Bulgaria na ubalozi wake nchini China. Bi. Iotova amesisitiza umuhimu wa taaluma ya kibinadamu na kutoa matumaini ya serikali ya Bulgaria ...
Tarehe 5 hadi 6 Septemba, mkuu wa Chuo Kikuu cha BFSU Prof. Jia Wenjian amehudhuria kwenye sherehe ya kuwakaribisha wanafunzi wapya wa Kituo cha Uvumbuzi wa Utayarishaji wa Wazamivu wa China-Jumuiya ya Ushirikiano wa Shanghai mjini Harbin. Naibu Waziri wa Elimu wa China Bw. Wu Yan, Naibu Mkuu wa Mkoa wa Heilongjiang Bw. Sui Hongbo, Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Teknolojia cha Belarusi Prof. Kharitonchik ...
Tarehe 1 Septemba, sherehe ya kuwakaribisha wanafunzi wapya wa 2025 imefanyika katika Chuo Kikuu cha BFSU. Wanafunzi 3,917 kutoka nchi na kanda 90 wamejiunga na chuo hiki. Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Prof. Wang Dinghua, mkuu wa Chuo Kikuu Prof. Jia Wenjian, manaibu makatibu wakuu Prof. Jia Dezhong na Prof. Su Dapeng, makamu wakuu Prof. Ding Hao na Prof. Zhao Gang, Balozi wa Georgia nchini China ...