Tarehe 9 Aprili, sherehe ya kutia saini makubaliano ya ushirikiano wa Chuo Kikuu cha BFSU na SOAS imefanyika SOAS, London. Naibu meya wa mji wa Beijing Bw. Ma Jun amehudhuria sherehe hiyo na kutoa hotuba. Makamu mkuu wa BFSU Prof. Zhao Gang na makamu mkuu wa SOAS Prof. Laura Hammond wametia saini makubaliano hayo.
Tarehe 11 Aprili, balozi wa Sri Lanka Bw. Majintha Jayesinghe ametembelea Chuo Kikuu cha BFSU. Mkuu wa BFSU Prof. Jia Wenjian amekutana na wageni hawa. Wamezungumzia kuimarisha ushirikiano wa BFSU na Sri Lanka katika mawasiliano ya walimu na wanafunzi, utafiti wa pamoja na mengineyo.
Tarehe 13 Aprili, balozi wa Malta nchini China Bw. John Busuttil na mkuu wa Chuo Kikuu cha Malta Prof. Alfred Vella wametembelea Chuo Kikuu cha BFSU. Mkuu wa BFSU Prof. Jia Wenjian, makamu mkuu wa BFSU Prof. Liu Xinlu wamekutana na wageni hawa na kuzungumzia kuimarisha ushirikiano.Wageni hao wamekutana na wanafunzi wa Kimalta kabla ya mazungumzo.
Tarehe 16 Aprili, balozi wa Uswidi nchini China Bw. per Augustsson ametembelea Chuo Kikuu cha BFSU. Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Prof. Wang Dinghua amekutana na wageni hawa. Wamezungumzia kuimarisha ushirikiano kati ya BFSU na pande za Uswidi, kuendeleza mawasiliano ya walimu na wanafunzi na kukuza utafiti. Kabla ya kukutana na viongozi wa BFSU, Bw. Augustsson amefanya mazungumzo na walimu na ...
Tarehe 25 Machi, Waziri wa mambo ya ndani na nje wa Ureno Bw. Paulo Rangel ametembelea Chuo Kikuu cha BFSU. Mkuu wa BFSU Prof. Jia Wenjian amekutana na wageni hawa. Bw. Rangel ametoa hotuba kuhusu lugha na utamaduni wa Ureno kabla ya kuzungumza na walimu na wanafunzi wa Kireno.
Tarehe 20 hadi 29 Machi, mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha BFSU Prof. Wang Dinghua ameongoza ujumbe kutembelea Austria, Uswisi na Ureno. Wajumbe hawa wametembelea Kituo cha Utafiti cha Jellinek cha Austria, Chuo Kikuu cha Vienna na taasisi yake ya Confucius, Taasisi ya Mahusiano ya Kimataifa na Maendeleo ya Geneva, Chuo Kikuu cha Porto, Chuo Kikuu cha Coimbra na Chuo Kikuu cha Lisbon.Wajumbe hao ...
Tarehe 22 Machi, Baraza la Tisa la Mageuzi na Maendeleo ya Elimu ya Lugha za Kigeni katika Vyuo Vikuu limefanyika Beijing. Jukwaa la Huduma ya Lugha la Dunia limezinduliwa katika baraza hilo. Kwa kufuata dhamira ya kujenga, kuzalisha na kutumia kwa pamoja, Jukwaa hilo limeweka vitengo vitatu vya huduma ya lugha , elimu ya lugha na utafiti na hifadhi ya lugha.
Language without Borders: China and Africa Shaping a New Narrative for the Global SouthResponding to Change - Eliminating Prejudice - Exploring Symbiosis30 June - 1 July 2025 | Beijing · Nairobi · KanoI. Theme of the ConferenceAgainst the backdrop of profound changes in the world landscape, the collective rise of the African continent and the Global South is reshaping the new order of the international ...
Tarehe 18 Machi, Balozi wa Cyprus nchini China Bi. Frances Lanitou ametembelea Chuo Kikuu cha BFSU. Makamu Mkuu Prof. Zhao Gang amekutana na mgeni huyo na msafara wake. Pande hizo mbili zimefanya mazungumzo juu ya kuimarisha mawasiliano na ushirikiano.Bi. Lanitou amesifia mafanikio ya BFSU katika kutayarisha wanafunzi. Pia amesema ubalozi wa Cyprus nchini China utahimiza mawasiliano ya wanafunzi na ...