Tarehe 19 Novemba, Chama cha CPC Shina la Wizara ya Elimu limeteua Bw. Li Hai kuwa Katibu Mtendaji wa CPC shina la BFSU na Mwenyekiti wa Baraza la Chuo. Naibu Waziri wa Elimu Prof. Wang Jiayi amehudhuria kwenye mkutano na kutangaza uteuzi huo. Naibu Mkurugenzi wa Idara ya Rasilimali Watu ya Wizara ya Elimu Bw. Ge Yuanjie, Naibu Katibu Mtendaji wa Baraza la Elimu la Beijing Bw. Yu Chengwen na Mkuu wa ...
Chuo Kikuu cha Lugha za Kigeni cha Beijing(BFSU) kimeandaa video fupi zinazoonesha maendeleo ya China katika Zama Mpya. Video hizi zinafuatilia masuala ya uhalisia na usasa kama vile malipo kwa njia ya simu, huduma ya kidijitali ya vyakula, ustawishaji wa vijijini, mawasiliano ya kitamaduni, huduma ya upelekaji wa vyakula, baiskeli za umma n.k. Lugha za video hizo ni pamoja na Kichina, Kiingereza, ...
Tarehe 12 Desemba, Balozi wa New Zealand nchini China Bw. Jonathan Austin ametemelea Chuo Kikuu cha BFSU. Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Bw. Li Hai amekutana na wageni. Wamezungumzia mawasiliano ya walimu na wanafunzi, utafiti wa pamoja, ujenzi wa kozi za Kimaori na lugha nyingine za Kusini mwa Pasifiki.
Tarehe 10 Desemba, Balozi wa Finland nchini China Bw. Mikko Kinnunen ametembelea Chuo Kikuu cha BFSU. Mkuu wa Chuo Kikuu Prof. Jia Wenjian amekutana na wageni. Wamezungumzia kuendeleza ushirikiano wa utafiti na mawasiliano ya walimu na wanafunzi.
Tarehe 5 Desemba, Wizara ya Elimu ya China na Wizara ya Elimu ya Juu, Utafiti na Shughuli za Anga ya Juu ya Ufaransa zimeandaa kwa pamoja Kongamano la Pili la Maendeleo ya Elimu baina ya China na Ufaransa mjini Chengdu, mkoani Sichuan. Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha BFSU Bw. Li Hai amehudhuria kongamano hilo na kutoa hotuba yenye mada ya “Kujenga Mfumo wa Kutayarisha Wasomi wa Siku za Mbele ...
Tarehe 3 Desemba, Waziri wa Michezo, Sanaa na Utamaduni wa Afrika Kusini Bw. Gayton Mckenzie na msafara wake wametembelea Chuo Kikuu cha BFSU. Mkuu wa Chuo Kikuu Prof. Jia Wenjian na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Prof. Liu Xinlu wamekutana na wageni hao. Wamezungumzia mawasiliano ya walimu na wanafunzi, utafiti wa pamoja, tafsiri za kazi za fasihi, ushirikiano wa sanaa na pande mbalimbali.
Tarehe 21 Novemba, Kongamano la Wakuu wa Vyuo Vikuu vya Asia (AUPF) limefanyika jijini Guangzhou. Kaulimbiu ya Kongamano hilo ni “Teknolojia Mpya na Ushirikiano wa Sekta Mtambuko: Kutafuta Njia Mpya ya Maendeleo Jumuishi ya Elimu ya Juu barani Asia”. Mkuu wa BFSU Prof. Jia Wenjian amehudhuria Kongamano hilo na kutoa hotuba yenye mada ya “Daraja la Mawasiliano Duniani: Jukwaa la Huduma ya Lugha la ...
Tarehe 13 Novemba, Malkia wa Uhispania Letizia Ortiz Rocasolano ametembelea Chuo Kikuu cha BFSU. Naibu Waziri wa Elimu Bw. Ren Youqun, Mkuu wa Idara ya Ushirikiano na Mawasiliano ya Kimataifa Bw. Yang Dan, Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Prof. Wang Dinghua, Mkuu wa Chuo Kikuu Prof. Jia Wenjian na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Prof. Zhao Gang wamekutana na wageni hao.Malkia Letizia na viongozi wengine ...
Tarehe 16 Oktoba, Mazungumzo ya Vyuo Vikuu kuhusu Utekelezaji wa “Makubaliano ya Mustakabali” yamefanyika katika Chuo Kikuu cha BFSU. Naibu Mkuu wa Idara ya Kimataifa ya Wizara ya Elimu Bw. Li Hai, Naibu Katibu Mkuu wa Sera wa Umoja wa Mataifa Bw. Guy Ryder, Mkuu wa Idara ya Utekelezaji wa Makubaliano ya Mustakabali wa Umoja wa Mataifa Bw. Themba Kaula, Afisa Mwandamizi wa Umoja wa Mataifa Bw. Siddharth ...