Tarehe 25 Machi, Waziri wa mambo ya ndani na nje wa Ureno Bw. Paulo Rangel ametembelea Chuo Kikuu cha BFSU. Mkuu wa BFSU Prof. Jia Wenjian amekutana na wageni hawa. Bw. Rangel ametoa hotuba kuhusu lugha na utamaduni wa Ureno kabla ya kuzungumza na walimu na wanafunzi wa Kireno.
Tarehe 20 hadi 29 Machi, mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha BFSU Prof. Wang Dinghua ameongoza ujumbe kutembelea Austria, Uswisi na Ureno. Wajumbe hawa wametembelea Kituo cha Utafiti cha Jellinek cha Austria, Chuo Kikuu cha Vienna na taasisi yake ya Confucius, Taasisi ya Mahusiano ya Kimataifa na Maendeleo ya Geneva, Chuo Kikuu cha Porto, Chuo Kikuu cha Coimbra na Chuo Kikuu cha Lisbon.Wajumbe hao ...
Tarehe 22 Machi, Baraza la Tisa la Mageuzi na Maendeleo ya Elimu ya Lugha za Kigeni katika Vyuo Vikuu limefanyika Beijing. Jukwaa la Huduma ya Lugha la Dunia limezinduliwa katika baraza hilo. Kwa kufuata dhamira ya kujenga, kuzalisha na kutumia kwa pamoja, Jukwaa hilo limeweka vitengo vitatu vya huduma ya lugha , elimu ya lugha na utafiti na hifadhi ya lugha.
Language without Borders: China and Africa Shaping a New Narrative for the Global SouthResponding to Change - Eliminating Prejudice - Exploring Symbiosis30 June - 1 July 2025 | Beijing · Nairobi · KanoI. Theme of the ConferenceAgainst the backdrop of profound changes in the world landscape, the collective rise of the African continent and the Global South is reshaping the new order of the international ...
Tarehe 18 Machi, Balozi wa Cyprus nchini China Bi. Frances Lanitou ametembelea Chuo Kikuu cha BFSU. Makamu Mkuu Prof. Zhao Gang amekutana na mgeni huyo na msafara wake. Pande hizo mbili zimefanya mazungumzo juu ya kuimarisha mawasiliano na ushirikiano.Bi. Lanitou amesifia mafanikio ya BFSU katika kutayarisha wanafunzi. Pia amesema ubalozi wa Cyprus nchini China utahimiza mawasiliano ya wanafunzi na ...
Tarehe 13 Machi, Balozi wa Ureno nchini China Bw. Paulo Nascimento ametembelea Chuo Kikuu cha BFSU. Mkuu wa BFSU Prof. Jia Wenjian amekutana na mgeni huyo na msafara wake. Pande hizo mbili zimefanya mazungumzo juu ya kuimarisha mawasiliano na ushirikiano. Bw. Nacsimento amesifia mafanikio ya BFSU katika kufundisha na kutayarisha wanafunzi wa Kireno. Pia amesisitiza kwamba ubalozi wa Ureno nchini China ...
Tarehe 26 Februari, Kitivo cha Biashara ya Kimataifa cha BFSU kimepokea barua rasmi kutoka Jumuiya ya Wahitimu wa Kitivo cha Biashara ya Uingereza(BGA). Barua hii imetoa pongezi kwa Kitivo hicho ambacho kimetunukiwa ithibati ya BGA kwa miaka mitatu.Ithibati inayotolewa na BGA ni miongoni mwa ithibati tatu zenye kiwango cha juu duniani. Ithibati hiyo imeonesha kwamba BFSU imepiga hatua kubwa katika ...
Tarehe 26 Februari, Balozi wa Norway nchini China Bw. Vebjørn Dysvik ametembelea Chuo Kikuu cha BFSU. Mkuu wa Chuo Prof. Jia Wenjian amekutana na mgeni huyo na msafara wake. Pande hizo mbili zimefanya mazungumzo juu ya kuimarisha mawasiliano na ushirikiano.Baada ya mazungumzo, Bw. Vebjørn Dysvik amekutana na wanafunzi wa kozi ya Kinorwei.
Tarehe 18 Februari, kikao cha kufungua muhula wa Spring wa 2025 kimefanyika BFSU. Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Prof. Wang Dinghua ameweka wazi matakwa matano ya kufanya kazi katika mwaka wa 2025. Mkuu wa Chuo Prof. Jia Wenjian ametoa hotuba yenye mada ya “Kukuza Maendeleo ya Kiwango cha Juu ya Chuo Kikuu Bora cha Lugha za Kigeni Duniani” na kupanga kazi kutoka pande saba. Kikao hiki kimesisitiza ...