Tarehe 1 Machi, Naibu Mkurugenzi wa Idara ya Mambo ya Nje ya Kamati ya Maandalizi ya Michezo ya Asia ya Hangzhou Bw. Xu Jianfeng amekitembelea Chuo Kikuu cha Lugha za Kigeni cha Beijing (BFSU). Makamu mkuu wa BFSU Prof. Jia Dezhong amekutana na Bw. Xu Jianfeng na wageni wengine. Pande hizo mbili zimefanya mazungumzo na kubadilishana mawazo kuhusu huduma ya kutafsiri kwa lugha nyingi katika Mich...
Tarehe 24 Februari, vitabu vipya vya "Mradi wa Kutafsiriana Maandishi Maarufu ya Nchi za Asia" vimetolewa katika ufunguzi wa Mkutano wa 35 wa Maagizo ya Vitabu uliofanyika kwenye Kituo cha Maonyesho cha Kimataifa mjini Beijing.Miongoni mwa Vitabu hivi, The Life and Revolutionary Cause of Chairman Kaysone Phomvihane, The Two Sisters na The Legend of Khun Borom vilitafsiriwa na walimu wa Kilaos w...
Kuanzia Februari 13 hadi 14, Mkutano wa Elimu ya Kidijitali wa Dunia umefanyika mjiniBeijing. Mkuu wa Chuo Kikuu cha BFSU Prof. Yang Dan na Mkuu wa Kitivo cha Elimu ya Mtandaoni Bi. Tang Jinlan wamehudhuria mkutano huo, walimu kutoka vitivo mbalimbali vya BFSU wamefanya kazi nzuri za ukalimani na tafsiri kwa mkutano na vikao sambamba.Kauli mbiu ya Mkutano wa Elimu ya Kidijitali wa mwaka huu ni ...
Tarehe 12 Januari, Taasisi ya Sayansi ya Jamii ya China (CASS) imetoa "Ripoti ya Tathmini ya AMI ya Majarida ya Sayansi ya Jamii ya China (2022)" na kutangaza matokeo ya tathmini ya mwaka 2022. Majarida 34 ya kitaaluma ya BFSU yameingia katika orodha hiyo. Tathmini ya majarida ya sayansi ya jamii ya China imefanywa na Taasisi ya Sayansi ya Jamii ya China (CASS) kila baada ya miaka minne tangu 2...
Kuanzia tarehe 5 hadi 6 Januari, 2023, Rais wa Turkmenistan Serdar Berdimuhamedov amefanya ziara nchini China kwa mwaliko wa Rais wa China Xi Jinping. Mkataba wa ushirikiano kati ya BFSU na Chuo Kikuu cha Makhtumkuli umejumuishwa katika orodha ya mafanikio ya ziara ya Rais wa Turkmenistan nchini China.Januari 6, Mkuu wa Chuo Kikuu cha BFSU Prof. Yang Dan na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Makhtumkuli ...
Tarehe 18 Desemba, Kongamano la Jumuiya ya Taaluma ya Nchi na Maeneo ya Kimataifa la 2022(CCAS) lililoandaliwa na Chuo Kikuu cha Lugha za Kigeni cha Beijing limefanyika kwenye mtandao. Kaulimbiu ya kongamano hilo ni “Ujumuishi, Ushirikiano na Maendeleo Endelevu ya Ulimwengu".Jumuiya ya Taaluma ya Nchi na Maeneo ya Kimataifa (CCAS) ni mtandao wa kitaaluma ulioanzishwa na Shirikisho la Kimataifa...
Tarehe 8 Desemba, Mkutano wa Kimataifa wa Elimu ya Kichina umefanyika Beijing. Naibu Waziri Mkuu wa China Sun Chunlan amehudhuria ufunguzi na kutoa hotuba. Mkuu wa Chuo Kikuu cha BFSU Prof. Yang Dan ameshiriki kwenye ufunguzi wa mkutano huo na kutoa hotuba kwenye "Kongamano la Kwanza la Mawasiliano na Ushirikiano kati ya Lugha za Kigeni na Lugha ya Kichina" ambalo ni mojawapo ya makongamano s...
Kuanzia tarehe 26 hadi 27 Novemba, Kongamano la Kwanza la Kitaifa la Utafiti wa Vitabu vya Kiada vya Lugha za Kigeni limefunguliwa kwenye mtandao. Kaulimbiu ya kongamno hilo ni "Utafiti wa Vitabu vya Kiada vya Lugha za Kigeni: Upeo wa Ulimwengu na Uvumbuzi wa Kienyeji". Takriban wataalamu na wasomi 10,000 wanaoshughulikia elimu ya lugha za kigeni wamehudhuria kongamano hilo. Naibu Mkurugenzi wa...
Mnamo tarehe 10 Novemba, 2022, Kongamano la Kimataifa la Uenezi wa Utamaduni wa Kichina la 2022 lililoandaliwa na Kituo cha Uenezi wa Utamaduni cha Shirika la Uchapishaji la Lugha za Kigeni la China, Taasisi ya Uenezi wa Kimataifa wa Utamaduni wa Kichina ya BFSU, na Kituo cha Utafiti wa Ustaarabu wa China limefunguliwa katika BFSU.Mkuu wa Shirika la Uchapishaji wa Lugha za Kigeni la China Bw. D...