Tarehe 20 Machi, Mkuu wa Chuo Kikuu cha Western Sydney cha Australia Bw. Barney Glover ametembelea Chuo Kikuu cha Lugha za Kigeni cha Beijing.Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Prof. Wang Dinghua amekutana na Bw. Barney Glover na msafara wake. Wamejadiliana juu ya mawasiliano ya wanafunzi na walimu wa pande mbili, mafunzo ya pamoja, programu za shahada ya uzamili na kadhalika.
Tarehe 18 Machi, Kongamano la Ujenzi wa Rasilimali za Taarifa za Taaluma ya Nchi na Maeneo lililoandaliwa na Jumuiya ya Utafiti wa Taaluma ya Nchi na Maeneo limefanyika katika Chuo Kikuu cha Lugha za Kigeni cha Beijing. Mkuu wa Chuo Kikuu cha BFSU Prof. Yang Dan amehudhuria kongamano hilo.Wataalamu na wasomi 96 wanaoshughulikia Utafiti wa Taaluma ya Nchi na Maeneo kutoka vyuo vikuu 34 wameshiri...
Tarehe 1 Machi, Naibu Mkurugenzi wa Idara ya Mambo ya Nje ya Kamati ya Maandalizi ya Michezo ya Asia ya Hangzhou Bw. Xu Jianfeng amekitembelea Chuo Kikuu cha Lugha za Kigeni cha Beijing (BFSU). Makamu mkuu wa BFSU Prof. Jia Dezhong amekutana na Bw. Xu Jianfeng na wageni wengine. Pande hizo mbili zimefanya mazungumzo na kubadilishana mawazo kuhusu huduma ya kutafsiri kwa lugha nyingi katika Mich...
Tarehe 24 Februari, vitabu vipya vya "Mradi wa Kutafsiriana Maandishi Maarufu ya Nchi za Asia" vimetolewa katika ufunguzi wa Mkutano wa 35 wa Maagizo ya Vitabu uliofanyika kwenye Kituo cha Maonyesho cha Kimataifa mjini Beijing.Miongoni mwa Vitabu hivi, The Life and Revolutionary Cause of Chairman Kaysone Phomvihane, The Two Sisters na The Legend of Khun Borom vilitafsiriwa na walimu wa Kilaos w...
Kuanzia Februari 13 hadi 14, Mkutano wa Elimu ya Kidijitali wa Dunia umefanyika mjiniBeijing. Mkuu wa Chuo Kikuu cha BFSU Prof. Yang Dan na Mkuu wa Kitivo cha Elimu ya Mtandaoni Bi. Tang Jinlan wamehudhuria mkutano huo, walimu kutoka vitivo mbalimbali vya BFSU wamefanya kazi nzuri za ukalimani na tafsiri kwa mkutano na vikao sambamba.Kauli mbiu ya Mkutano wa Elimu ya Kidijitali wa mwaka huu ni ...
Tarehe 12 Januari, Taasisi ya Sayansi ya Jamii ya China (CASS) imetoa "Ripoti ya Tathmini ya AMI ya Majarida ya Sayansi ya Jamii ya China (2022)" na kutangaza matokeo ya tathmini ya mwaka 2022. Majarida 34 ya kitaaluma ya BFSU yameingia katika orodha hiyo. Tathmini ya majarida ya sayansi ya jamii ya China imefanywa na Taasisi ya Sayansi ya Jamii ya China (CASS) kila baada ya miaka minne tangu 2...
Kuanzia tarehe 5 hadi 6 Januari, 2023, Rais wa Turkmenistan Serdar Berdimuhamedov amefanya ziara nchini China kwa mwaliko wa Rais wa China Xi Jinping. Mkataba wa ushirikiano kati ya BFSU na Chuo Kikuu cha Makhtumkuli umejumuishwa katika orodha ya mafanikio ya ziara ya Rais wa Turkmenistan nchini China.Januari 6, Mkuu wa Chuo Kikuu cha BFSU Prof. Yang Dan na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Makhtumkuli ...
Tarehe 18 Desemba, Kongamano la Jumuiya ya Taaluma ya Nchi na Maeneo ya Kimataifa la 2022(CCAS) lililoandaliwa na Chuo Kikuu cha Lugha za Kigeni cha Beijing limefanyika kwenye mtandao. Kaulimbiu ya kongamano hilo ni “Ujumuishi, Ushirikiano na Maendeleo Endelevu ya Ulimwengu".Jumuiya ya Taaluma ya Nchi na Maeneo ya Kimataifa (CCAS) ni mtandao wa kitaaluma ulioanzishwa na Shirikisho la Kimataifa...
Tarehe 8 Desemba, Mkutano wa Kimataifa wa Elimu ya Kichina umefanyika Beijing. Naibu Waziri Mkuu wa China Sun Chunlan amehudhuria ufunguzi na kutoa hotuba. Mkuu wa Chuo Kikuu cha BFSU Prof. Yang Dan ameshiriki kwenye ufunguzi wa mkutano huo na kutoa hotuba kwenye "Kongamano la Kwanza la Mawasiliano na Ushirikiano kati ya Lugha za Kigeni na Lugha ya Kichina" ambalo ni mojawapo ya makongamano s...