Tarehe 19 Oktoba, Balozi wa Belarusi nchini China Bw. Rudy Kiryl alikizuru chuo chetu na kukutana na Mkuu wa Chuo Prof. Peng Long. Baadaye balozi huyu alitoa hotuba.
Novemba 16 asubuhi, Mkuu wa Chuo Kikuu cha Lugha cha Munich (SDI) Bw. Felix Mayer amezuru chuo chetu na kutunukiwa cheti cha profesa mwalikwa. Mkuu wa Chuo Prof. Peng Long amekutana na mgeni huyu akis...
Tarehe 25 Novemba, Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Prof. Wang Dinghua amekutana na Naibu Waziri wa elimu wa Syria Bw. Farah Sulaiman Al. Mutlak. Profesa Wang amewaelezea wageni historia ya chuo na maende...