Mnamo tarehe 14 Septemba, Kongamano la Wakuu wa Taasisi za Confucius lililoandaliwa na Wakfu wa Elimu ya Kichina ya Kimataifa (CIEF), Chuo Kikuu cha Lugha za Kigeni cha Beijing (BFSU) na Shirika la Uchapishaji wa Ufundishaji na Utafiti wa Lugha za Kigeni (FLTRP) limefunguliwa kwenye mtandao. Katibu Mkuu wa CIEF Bw. Zhao Lingshan, Mkuu wa Chuo Kikuu cha BFSU Prof. Yang Dan, Makamu Mkuu wa BFSU P...
Tarehe 26 Agosti,toleo la kwanza la Kiingereza la “Ukonfusia wa Kimataifa” lililoandaliwa na Shirikisho la Ukonfusia wa Kimataifa(ICA) na Shirika la Uchapishaji wa Ufundishaji na Utafiti wa Lugha za Kigeni (FLTRP) limezinduliwa katika BFSU. Mkuu wa ICA Bi. Liu Yandong ametoa pongezi kwa tukio hilo.Makamu Mkuu wa ICA Bw. Chen Lai, Katibu Mkuu wa ICA Bw. Jia Deyong, Mkuu wa Chuo Kikuu cha BFSU...
Mnamo tarehe 1 Agosti, Kambi ya Majira ya Joto ya “Uzuri wa Utamaduni” ya BFSU kwa Urusi umefunguliwa kwenye mtandao. Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Lugha cha Kitaifa cha Moscow Innara Guseynova, na Makamu Mkuu wa BFSU Prof. Jia Wenjian wamehudhuria ufunguzi huo.Kambi hiyo inafadhiliwa na Kituo cha Mawasiliano na Ushirikiano wa Lugha cha Wizara ya Elimu, Ofisi ya Taasisi ya Confucius ya BFSU p...
“Darasa la ukonfusia wa kimataifa na walimu wa utamaduni wa kichina la mwaka 2022”lililofadhiliwa na Shirikisho la Ukonfusia wa Kimataifa (ICA) pamoja na Chuo Kikuu cha Lugha za Kigeni cha Beijing (BFSU) limefunguliwa tarehe 18 Julai. Naibu mweny wa ICA Bw. Zhang Xuezhi, makamu mkuu wa BFSU Prof. Zhao Gang, wataalamu wa ndani na nje ya China na wanafunzi wa darasa hilo wamehudhuria ufunguzi h...
Mnamo tarehe 12 Julai, "Kongamano la Ngazi ya Juu la Elimu ya Lugha za Kigeni" lililoandaliwa na Kitivo cha Kiingereza cha BFSU na Shirika la Uchapishaji wa Ufundishaji na Utafiti wa Lugha za Kigeni (FLTRP) limefanyika kwenye mtandao. Makamu mkuu wa Chuo Kikuu cha BFSU Prof. Sun Youzhong amehudhuria ufunguzi na kutoa hotuba.Prof. Diane Larsen-Freeman wa Chuo Kikuu cha Michigan, Prof. Matthew E....
Tarehe 7, Julai, Ubalozi wa Tanzania nchini China umefanya maadhimisho ya Siku ya Kiswahili Duniani kwenye mtandao. Walimu na wanafunzi wa Kiswahili wa Chuo Kikuu cha Lugha za Kigeni cha Beijing (BFSU) wamealikwa kuungana nao katika maadhimisho hayo. Mkurugenzi wa Idara ya Kiswahili ya BFSU Bw. Zhao Lei ametoa hotuba inayopitia historia na maendeleo ya kozi ya Kiswahili tangu kuanzishwa kwake ...
Mnamo Juni 29, mahafali ya mwaka 2022 ya Chuo Kikuu cha Lugha za Kigeni cha Beijing yamefanyika kwenye mtandao. Mwaka huu, wanafunzi 2,279 wametunukiwa shahada ya kwanza, wanafunzi 1,201 wametunukiwa shahada ya uzamili na wanafunzi 85 wametunukiwa shahada ya uzamivu. Makamu wa Mwenyekiti wa zamani wa SCLF Bw. Tang Wensheng, Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Prof. Wang Dinghua na Mkuu wa Chuo K...
Mnamo tarehe 25 Juni, Kongamano la 10 la Tafsiri la Asia-Pasifiki lililoandaliwa na Shirikisho la Kimataifa la Watafsiri(FIT), Chama cha Tafsiri na Ukalimani cha China(TAC) na Chuo Kikuu cha Lugha za Kigeni cha Beijing(BFSU) limefunguliwa.Mkuu wa TAC Bw. Du Zhanyuan, Mkuu wa Chuo Kikuu cha BFSU Prof. Yang Dan, Mwenyekiti wa FIT Bw. Alison Rodriguez na Mwenyekiti wa Kitivo cha Tafsiri cha Chuo K...
Hivi karibuni, Wizara ya Elimu imetangaza orodha za kozi za hali ya juu katika ngazi ya kitaifa na ngazi ya kimkoa. Kozi 21 za BFSU zikiwemo Kihausa na Kiswahili zimeingia kwenye orodha ya kitaifa huku kozi nyingine 10 zimeingia orodha ya kimkoa ikiwa ni pamoja na Kizulu na Kiamhara. Kozi hizo zitapewa kipaumbele cha kujengwa katika miaka mitatu ijayo.Hadi sasa, kozi 54 za chuo chetu zimeorodh...