Mnamo 18 Januari, BFSU imeandaa sherehe ya kuwasindikiza wanafunzi wanaojitolea wa Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi na Michezo ya Olimpiki ya Walemavu ya Mwaka 2022. Naibu Mtendaji Mkuu wa Mawasiliano ya Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi Bw. Wan Xuejun, Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Prof. Wang Dinghua, Mkuu wa Chuo Kikuu cha BFSU Prof.Yang Dan na viongozi wengine wamehudhuria ...
Hivi karibuni, orodha ya miradi mikuu ya NSSFC ya mwaka 2021 imetolewa. Miradi minne ya BFSU imeidhinishwa ikishika nafasi ya 21 kati ya vyuo vikuu kote nchini. Mradi wa "Uhariri na utafiti wa vitabu vya kiada vya lugha za kigeni katika vyuo vikuu: Kuelewa China ya Kisasa" ukiongozwa na Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Prof.Wang Dinghua umeidhinishwa kuwa mradi mkubwa wa NSSFC.Kabla ya hapo,...
Tarehe 9 Desemba, Kongamano la Wasomi wa Ndani na Nje ya Nchi wa Taasisi za Confucius za BFSU la 2021 limefanyika. Kongamano hilo lenye kaulimbiu ya "Elimu ya Lugha ya Kichina Duniani Baada ya Janga la UVIKO-19" linalenga kutatua matatizo yanayoikabili elimu ya lugha ya kichina katika siku za usoni, kujadili jinsi ya kubadilisha changamoto kuwa fursa, na kusukuma mbele maendeleo ya elimu ya lug...
Tarehe 8 Desemba, mkutano wa kuhitimisha maadhimisho ya miaka 80 ya BFSU umefanyika hapa chuoni. Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Prof. Wang Dinghua, Mkuu wa Chuo Kikuu cha BFSU Prof.Yang Dan, Makamu Mkuu wa Chuo Prof. Jia Wenjian na viongozi wengine wamehudhuria mkutano huo.Wafanyakazi waliotia fora katika maadhimisho ya miaka 80 ya BFSU wametunukiwa cheti cha heshima katika mkutano huo.
Mnamo Novemba 10, mafunzo ya watu wanaojitolea wa Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing na Michezo ya Olimpiki ya Walemavu ya Mwaka 2022 yamezinduliwa katika BFSU. Walimu na wanafunzi wanaojitolea wa BFSU karibu 500 wameshiriki kwenye uzinduzi huo.Mafunzo hayo yatakayoendelea kwa mwezi mmoja yataboresha uwezo na stadi za wanafunzi wanaojitolea wa BFSU kwa kiasi kikubwa. BFSU itatum...
Tarehe 19 Oktoba, Tamasha la Sita la Vijana wa China na Afrika limefanyika mjini Beijing. Vijana 45 wanaotoka nchi 44 za Afrika na wanafunzi 38 wa BFSU wamealikwa kushiriki kwenye tamasha hilo. Mwenyekiti wa Mfuko wa Song Qingling wa China Bw. Wang Jiarui, Msaidizi wa Waziri wa Mambo ya Nje Bw. Deng Li na Balozi wa Nigeria nchini China Bw.Baba Ahmad Jidda wametoa hotuba katika ufunguzi wa tama...
Tarehe 23 Oktoba, Kongamano la pili la Elimu Linganishi na Elimu ya Kimataifa limefanyika mjini Beijing.Katibu Mkuu wa Tume ya Kitaifa ya UNESCO Bw. Qin Changwei na Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Prof. Wang Dinghua walihudhuria kongamano hilo.Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Prof. Wang Dinghua ametoa hotuba ya “Kuimarisha Ushiriki wa China katika Usimamzi wa Elimu ya Dunia”. Ameweka waz...
Mnamo Septemba 26, sherehe ya miaka 80 ya kuanzishwa kwa Chuo Kikuu cha Lugha za Kigeni cha Beijing (BFSU) ilifanyika. Rais Xi Jinping aliwaandikia maprofesa wakongwe barua akipongeza BFSU kutimiza miaka 80, na kutoa salamu za dhati kwa walimu, wanafunzi na wafanyakazi wote. Naibu Waziri wa Wizara ya Elimu Bw. Zhong Denghua alisema kwamba tangu kuanzishwa kwa BFSU, imewatayarisha wanafunzi we...
Mnamo Septemba 7, sherehe ya kuwakaribisha wanafunzi wapya wa 2021 ilifanyika hapa Chuo Kikuu cha Lugha za Kigeni cha Beijing. Kwa ujumla, wanafunzi 3,400 wapya wamejiunga na chuo hiki na kuanza maisha yao mapya. Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Bw. Wu Hongbo, Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Prof. Wang Dinghua, Mkuu wa Chuo Kikuu Prof. Yang Dan, Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Zhao ...