Tarehe 1 hadi 10 Julai, Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha BFSU Prof. Wang Dinghua ameongoza wajumbe kutembelea Ugiriki, Bulgaria na Romania. Wametembelea vyuo vikuu mbalimbali na mabalozi ya China katika nchi hizo. Pia wametembelea Kituo cha Utamaduni wa China cha Bulgaria, Taasisi ya Confucius ya Chuo Kikuu cha Sofia na Kampuni ya Usafirishaji wa COSCO, Bandari ya Piaerus (PPA) nchini Ugi...
Tarehe 28 Juni, mahafali ya mwaka 2024 yamefanyika na wanafunzi zaidi ya 2800 wametunukiwa vyeti. Balozi wa Malaysia nchini China Bw. Norman Muhamad, mhitimu wa mwaka 2008 wa idara ya sheria ya Chuo Bw. Zhang Tianyi, Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Prof. Wang Dinghua, Mkuu wa Chuo Prof. Jia Wenjian na viongozi wengine wamehudhuria kwenye sherehe hiyo.Prof. Jia Wenjian ametoa hotuba kwa mada ya “K...
Tarehe 1 Julai, Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Prof. William Anangisye ametembelea Chuo Kikuu cha BFSU. Mkuu wa Chuo Kikuu cha BFSU Prof. Jia Wenjian na Makamu Mkuu wa Chuo Prof. Zhao Gang wamekutana na kuzungumza na mgeni huyo. Wamezungumzia ushirikiano katika kuendeleza utafiti wa pamoja, mawasiliano ya walimu na wanafunzi, machapisho ya majarida kwa pamoja na pande nyingine.Wanafunzi ...
Tarehe 14 hadi 15 Juni, mkutano wa sita wa Umoja wa MOOC (Massive Open Online Courses) ya Lugha za Kigeni wa Vyuo Vikuu vya China wenye kaulimbiu ya “Kuunganisha dunia na kujenga mustakabali kwa teknolojia” umefanyika katika Chuo Kikuu cha BFSU. Mkuu wa Umoja huo Prof. Wang Dinghua ametoa hotuba ya kazi. Mkurugenzi wa Kituo cha Utafiti wa Habari na Mawasiliano cha Idara ya Mawasiliano ya Cham...
Tarehe 31 Mei, kikao cha kutekeleza “Mpango wa Ushirikiano wa Vyuo Vikuu Mia vya China na Afrika” kimefanyika katika Chuo Kikuu cha BFSU. Mwenyekiti wa Baraza la BFSU na Mkurugenzi wa “Mfumo wa Mawasiliano ya Umoja wa Vyuo Vikuu vya China na Afrika” Prof. Wang Dinghua, Naibu Mkuu wa Jumuiya ya Elimu ya Juu Bw. Zhang Daliang, Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha Ualimu cha Zhejiang Bw. Jia...
Tarehe 20 Mei, waziri wa elimu Bw. Andrei Ivanets ameongoza ujumbe kutembelea Chuo Kikuu cha BFSU. Mkuu wa BFSU Prof. Jia Wenjian na Naibu Mkuu Prof. Zhao Gang wamekutana na wageni hawa. Pande hizo mbili zimezungumzia kuhusu mawasiliano ya utamaduni na ushirikiano wa elimu. Mkaguzi wa Idara ya Ushirikiano na Mawasiliano ya Kimataifa ya Wizara ya Elimu Bi. Xi Ru pia amehudhuria.Baada ya mazungum...
Tarehe 26 Aprili, Chama cha CPC Shina la Wizara ya Elimu limetangaza uteuzi katika Chuo Kikuu cha BFSU. Prof. Jia Wenjian ameteuliwa kuwa Mkuu wa BFSU na Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha CPC wa Chuo Kikuu.Prof. Jia Wenjian, aliyezaliwa Juni, mwaka 1967, amekuwa mwanachama wa CPC na kupata shahada ya uzamivu. Alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha CPC Shina la BFSU na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu.
Tarehe 29 Aprili, Waziri wa Elimu, Spoti, Vijana, Utafiti na Ubunifu Bw. Clifton Grima ametembelea Chuo Kikuu cha BFSU. Mkuu wa BFSU Prof. Jia Wenjian na Makamu Mkuu Prof. Zhao Gang wamekutana na wageni hawa.Bw. Grima ametoa hotuba yenye mada ya “Maendeleo ya Pande Zote ya Vijana”, na amejibu maswali ya walimu na wanafunzi kuhusu sifa za mifumo ya elimu ya juu ya Malta, uzinduzi wa vijana, el...
Kuanzia tarehe 8 hadi 17 Aprili, Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha BFSU Prof. Wang Dinghua ameongoza ujumbe wa chuo kutembelea Nepal, Vietnam na Indonesia. Wametembelea Chuo Kikuu cha Tribhuvan, Chuo Kikuu cha Kathmandu, Chuo Kikuu cha Sanskrit cha Nepal (Kathmandu), Chuo Kikuu cha Sheria cha Hanoi, Chuo Kikuu cha Biashara ya Nje cha Vietnam, Chuo Kikuu cha Sheria cha Hue na Chuo Kikuu cha...