Tarehe 30 Machi, Kamishna wa Kamati ya Ubunifu, Utafiti, Utamaduni, Elimu na Shughuli za Vijana ya Umoja wa Ulaya (EU) Bi. Iliana Ivanova ametembelea Chuo Kikuu cha BFSU. Naibu Waziri wa Elimu Bw. Chen Jie, Mkuu wa Idara ya Ushirikiano na Mawasiliano ya Kimataifa Bw. Yang Dan, Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Prof. Wang Dinghua na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Prof. Jia Wenjian wamejitokeza kumka...
Tarehe 15 Machi, Naibu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Stony Brook(SBU) Bw. Carl W. Lejuez na msafara wake wametembelea Chuo Kikuu cha BFSU. Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Prof. Wang Dinghua, Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Prof. Jia Wenjian wamekutana na wageni hawa.Wamezungumzia kuimarisha ushirikiano kati ya pande mbili katika kuendeleza elimu ya ushirika, kuandalia wanafunzi kwa pamoja, kuimarisha maw...
Tarehe 21 Machi, Mkuu wa Chuo Kikuu cha Belarusian State(BSU) Bw. Andrei Korol na msafara wake wametembelea Chuo Kikuu cha BFSU. Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Prof. Jia Wenjian amekutana na wageni hawa. Pande hizo mbili zimefanya mazungumzo juu ya kuimarisha ushirikiano wa utafiti, mafunzo ya walimu, elimu ya masafa marefu na pande nyingine. Prof. Jia Wenjian amemtunukia Bw. Korol cheti cha ...
Tarehe 12 Machi, Mkuu wa SOAS Bw. Adam Mohamed Habib na msafara wake wametembelea Chuo Kikuu cha BFSU. Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Prof. Wang Dinghua, Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Prof. Jia Wenjian wamekutana na wageni hawa.Prof. Wang Dinghua ameeleza habari za maendeleo ya taaluma na mawasiliano ya kimataifa ya BFSU, na ametumai kuimarisha ushirikiano kati ya pande mbili katika kuendeleza ...
Mnamo tarehe 28 Februari, kikao cha kufungua muhula wa Spring wa 2024 kimefanyika BFSU. Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Prof. Wang Dinghua amepanga kazi za muhula huu kwa pande zote.Prof. Wang Dinghua ameweka wazi mambo kumi ya kufanya. Kwanza, kutathmini na kukuza elimu ya shahada ya kwanza kwa vigezo vizuri. Pili, kupanga mikakati ya maendeleo ya taaluma. Tatu, kuharakisha ujenzi wa “Chuo...
Mnamo tarehe 6 Januari, Mazungumzo ya Diplomasia ya umma kati ya China na Ulaya yamefanyika Beijing. Mazungumzo hayo yameandaliwa na Chuo Kikuu cha Lugha za Kigeni cha Beijing na Taasisi ya Taaluma za Utawala wa Kanda na Dunia. Zaidi ya watu 100 kutoka serikali, vyuo vikuu, wataalamu, waandishi wa habari wameshiriki mazungumzo hayo. Mkuu wa Chuo Kikuu cha BFSU Prof. Yang Dan amehudhuria na kuto...
Kuanzia tarehe 7 hadi 9 Desemba, Mkutano wa Kimataifa wa Lugha ya Kichina umefanyika Beijing. Kaulimbiu ya mkutano huo ni “Kuhudumia Dunia kwa Kichina, Kufungua Mlango kwa Mustakabali”. Zaidi ya wasomi, wataalamu, maafisa wa serikali na wawakilishi wa mashirika ya kimataifa 2,000 wamehudhuria mkutano huo. Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha BFSU Prof. Wang Dinghua, Makamu Mkuu wa Chuo Prof...
Kuanzia tarehe 1 hadi 10 Desemba, Mkuu wa Chuo Kikuu cha BFSU Prof. Yang Dan ameongoza wajumbe kutembelea Ethiopia, Madagaska na Tanzania. Wametembelea Chuo Kikuu cha Addis Ababa, Chuo Kikuu cha Antananarivo, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na kutia saini makubaliano ya ushirikiano baada ya mazungumzo na wakuu wa vyuo husika. Zaidi ya hayo, Prof. Yang Dan na wajumbe wametembelea makampuni ya China...
Mnamo tarehe 18 Novemba, Kongamano la “Bazara: Swahili Studies Conference 2023” limefanyika katika London, Uingereza. Zaidi ya wasomi 50 wanaotoka nchi mbalimbali wameshiriki katika kongamano hilo.Mwanafunzi wa shahada ya uzamili wa BFSU Bw. Ding Ruilin ameshiriki katika kongamano hilo akiwasilisha ripoti inayochambua athari hasi za tafsiri kutoka Kiingereza kwenda Kiswahili katika fasihi za ...