Mnamo Septemba 4, sherehe ya kuwakaribisha wanafunzi wapya wa 2023 imefanyika hapa Chuo Kikuu cha Lugha za Kigeni cha Beijing. Kwa ujumla, wanafunzi wapya 3,267 wamejiunga na chuo hiki na kuanza maisha mapya.Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Prof. Wang Dinghua, Mkuu wa Chuo Kikuu cha BFSU Prof. Yang Dan na aliyekuwa Naibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano ya Kimataifa ya Kamati Kuu ya Chama cha Ki...
Tarehe 31 Agosti 2023, Jumuiya ya Elimu ya Juu ya China (CAHE) na Jumuiya ya Vyuo Vikuu vya Afrika (AAU) zimezindua Sekretarieti ya China ya Umoja wa Vyuo Vikuu vya China na Afrika katika BFSU.Mkuu wa CAHE Bw. Du Yubo, Makamu Mkuu wa CAHE Bw. Zhang Daliang, Katibu Mkuu wa AAU Prof. Olusola Oyewole na Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Prof. Wang Dinghua wamehudhuria sherehe ya uzinduzi huo.Chin...
Tarehe 9 Agosti, Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Stoney Brook cha Marekani Bw. Carl W. Lejuez na msafara wake wametembelea BFSU. Mkuu wa Chuo Kikuu cha BFSU Prof. Yang Dan amefanya mazungumzo na wageni hawa. Wamejadiliana kwa kina juu ya kuimarisha ushirikiano katika nyanja mbalimbali.
Hivi majuzi, Shirikisho la Vyuo Bora vya Biashara ya Kimataifa (AACSB) limetangaza kwamba Kitivo cha Biashara ya Kimataifa ya BFSU kimepata idhini ya kimataifa ya AACSB yenye muda wa miaka mitano baada ya kupigiwa kura na Kamati ya Awali ya Ithibati na kukubaliwa na Baraza la Ithibati.
Tarehe 31 Julai, Mkuu wa Chuo Kikuu cha Latvia Bw. Indriķis Muižnieks ametembelea BFSU. Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Prof. Wang Dinghua amekutana na Bw. Indriķis Muižnieks, na wamefanya mazungumzo juu ya kuimarisha ushirikiano katika nyanja mbalimbali ikiwa ni pamoja na utafiti wa ufundishaji wa lugha, uchapishaji wa pamoja, uratibu wa makongamano ya kitaaluma na kadhalika.
Hivi majuzi, jarida la Umoja wa Mataifa la UN Today limechapisha mahojiano na Mkuu wa BFSU Prof. Yang Dan kwa kichwa cha habari cha Reaffirming International Connections through Language.Katika mahojiano, Prof. Yang Dan ameeleza dhana na uzoefu wa BFSU wa kukuza mawasiliano ya kimataifa kupitia elimu ya lugha na huduma ya lugha, akabainisha mafanikio ya BFSU katika kukuza ushirikiano wa kimatai...
Hivi karibuni, Wizara ya Elimu imetangaza orodha ya washindi wa Tuzo ya Kitaifa ya Uchunguzi wa Elimu ya Juu, na miradi mitatu ya BFSU imeshinda tuzo hiyo.“Njia za BFSU za Kuwatayarishia Wanafunzi wa Lugha Mbalimbali Umahiri wa Kufanya Kazi Ulimwenguni” umepata tuzo daraja la kwanza. “Uchunguzi na Vitendo vya Njia ya Mafunzo kwa Wanafunzi wa Kozi la Kiingereza katika Enzi Mpya” umepata tu...
Mnamo tarehe 30 Juni, BFSU imefanya sherehe ya kuwasindikiza wanafunzi wanaotarajali katika nje ya nchi. Wageni wanaotoka mashirika mbalimbali yakiwemo Benki Kuu ya China, Wizara ya Elimu na kadhalika wamehudhuria sherehe hiyo.Mkuu wa Chuo Kikuu cha BFSU Prof. Yang Dan ametoa hotuba yenye mada ya “Kutekeleza majukumu ya ulimwengu na kuonyesha taswira ya China”. Pia, walimu wengine wanaoongoza...
Kuanzia tarehe 6 hadi 15 Juni, Mkuu wa Chuo Kikuu cha BFSU Prof. Yang Dan ameongoza ujumbe kutembelea vyuo vikuu na taasisi mbalimbali nchini Ufaransa, Uingereza na Uswisi. Wamejadiliana juu ya ushirikiano wa nyanja mbalimbali kati ya Chuo Kikuu cha Lugha za Kigeni cha Beijing na vyuo vikuu hivyo. Wametembelea ubalozi wa China nchini Ufaransa, ubalozi wa China nchini Uingereza na Ujumbe wa Kudu...