Septemba 3, kitabu kipya cha "Faharisi ya Dunia ya 2021" kimezinduliwa katika Shirika la Uchapishaji la Utafiti na Ufundishaji wa Lugha za Kigeni, BFSU. Kitabu hicho ni matunda ya kwanza ya mradi wa “Utazamaji Dunia kwa Kujenga Faharisi”unaoongozwa na mkuu wa Chuo Kikuu cha BFSU Prof. Yang Dan. Faharisi hizo zimejumuisha aina mbalimbali za faharisi kama vile“Faharisi ya Uwezo wa Tafsiri wa ...
Kuanzia tarehe 20 Julai hadi tarehe 7 Agosti, BFSU imefanya miradi kadhaa ya mawasiliano ya Daraja la Kichina la mwaka 2021 kupitia mtandao ikiwa in pamoja na Kambi ya Majira ya Joto ya "Immersion na Impression" mtandaoni kwa wanafunzi wa sekondari wa Ulaya, Kambi ya Majira ya Joto kwa wanafunzi wa vyuo vikuu na kadhalika.Miradi ya mawasiliano ya Daraja la Kichina ya 2021 inajumuisha ujifunzaji...
Sherehe ya ufunguzi wa“Darasa la ukonfusia wa kimataifa na walimu wa utamaduni wa kichina la mwaka 2021”lililofadhiliwa na Shirikisho la Ukonfusia wa Kimataifa(ICA) pamoja na Chuo Kikuu cha Lugha za Kigeni cha Beijing(BFSU) ilifanyika mnamo tarehe 20 Julai mwaka huu. Katibu mkuu wa ICA Jia Deyong na makamu mkuu wa BFSU Zhao Gang walihudhuria sherehe hiyo. Darasa hilo la siku 13 litasomeshwa ...
Mnamo Julai 5, kikao cha ukuaji wa kozi za lugha za kiafrika kimefanya hapa chuoni na wanadiplomasia 15 kutoka nchi 8 za Afrika wakiwemo mabalozi wa Madagaska na Somalia wameshiriki katika kikao hicho. Mkuu wa Chuo Kikuu cha BFSU Prof. Yang Dan amewakaribisha wageni waalikwa na kuongeza kuwa, lugha ni chombo cha mawasiliano na daraja la urafiki kati ya China na Afrika. Kikao hiki kimeandaliwa...
Mnamo Julai 5, Sherehe ya Uzinduzi wa Seminaya Kimataifa ya Siku za Joto ya mwaka 2021 ilifanyika kwa njia ya mtandao. Walimu 13 wa kigeni waliotoka ulimwenguni walijitambulisha kupitia matangazo ya moja kwa moja na video zilizorekodiwa. Mwaka huo, maprofesa 13 wamealikwa kutoa mafunzo ya fani zikiwemo isimu, sayansi ya kisiasa, sosholojia, uchumi, historia, mahusiano ya umma, maendeleo ya mae...
Mnamo Julai 2, Mahafali ya mwaka 2021 ya Chuo Kikuu cha Lugha za Kigeni cha Beijing yamefanyika hapa chuoni. Mwaka huu, wanafunzi 2,197 wametunukiwa shahada ya kwanza, wanafunzi 1,064 wametunukiwa shahada ya uzamili na wanafunzi 61 wametunukiwa shahada ya uzamivu. Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Prof. Wang Dinghua na Mkuu wa Chuo Kikuu Prof. Yang Dan waliwapa wahitimu pongezi na kuwatunuki...
Mkutano wa mwaka 2018 wa Taasisi za Confucius wenye kaulimbiu ya “Mfumo wa Uendeshaji wa Taasisi za Confucius na Ubora wa Ufundishaji” umefanyika katika chuo chetu tarehe 1, Desemba. Wajumbe 44 wa t...
Tarehe 4-5 Desemba, Mkutano wa 13 wa Taasisi za Confucius Duniani umefunguliwa na Naibu Waziri Mkuu na Mwenyekiti wa Baraza la Makao Makuu ya Taasisi za Confucius Bi. Sun Chunlan mjini Chengdu. Kaulim...
Aprili 18, Kituo cha Utafiti wa Bulgaria kimezinduliwa katika chuo chetu. Mkuu wa Chuo Prof. Peng Long na balozi wa Bulgaria nchini China Bw. Grigor Porozhanov wamehudhuria hafla ya uzinduzi huo na ku...