Mnamo tarehe 17 Oktoba, Mkuu wa Chuo Kikuu cha BFSU Prof. Yang Dan amekutana na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kitaifa cha Ali Farabi cha Kazakhstan Bw. Tuimebayev Zhanseit Kanseituly katika Kongamano la Tatu la Ushirikiano wa Kimataifa wa "Ukanda Mmoja, Njia Moja". Pande hizo mbili zimetia saini mkataba wa kupelekeana wanafunzi wa vyuo vikuu viwili.
Mnamo tarehe 17 Oktoba, Mke wa Rais wa Sri Lanka Prof. Maithree Wickremesinghe ametembelea BFSU na kutoa hotuba. Pia amekutana na walimu na wanafunzi zaidi ya 300 wanaotoka vitivo mbalimbali. Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Prof. Wang Dinghua amehudhuria sherehe hiyo na kutoa risala.
Mnamo tarehe 27 Septemba, Waziri waUchukuzi na Vyombo vya Habari na Msemaji wa Baraza la Mawaziri la Sri Lanka Bw. Bandula Gunawardena ametembelea BFSU. Mkuu wa Chuo Kikuu cha BFSU Prof. Yang Dan na Makamu Mkuu wa Chuo Prof. Jia Wenjian wamekutana na Bandula na ujumbe wake. Wamebadilishana mawazo juu ya kuendelea kuimarisha mawasiliano na ushirikiano katika mafunzo ya wanafunzi wa lugha ya Kisi...
Mnamo tarehe 26 Septemba, Mke wa Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Syria Bi. Asma al-Assad ametembelea BFSU na kutoa hotuba kwenye Ukumbi wa Mkutano wa Kimataifa wa Kitivo cha Kiarabu. Pia amekutana na wawakilishi 40 kutoka balozi, vyuo vikuu na taasisi za utafiti. Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha BFSU Prof. Jia Wenjian amehudhuria hafla hiyo na kutoa risala.
Mnamo tarehe 22 Septemba, Kongamano la Mawasiliano ya Kimataifa ya Utamaduni wa China limefanyika Beijing. Kongamano hilo liliandaliwa na Chuo Kikuu cha Lugha za Kigeni cha Beijing, Shirika la Uchapishaji wa Kimataifa la China na Taasisi ya Utamaduni wa China. Mada ya kongamano hili ni “Tekeleza Mipango ya Ustaarabu wa Kimataifa na Kukuza Maendeleo ya Ustaarabu wa Binadamu kwa Pamoja ”. Takri...
Mnamo Septemba 16, Kongamano la Ustaarabu wa Ulimwengu limefanyika katika Chuo Kikuu cha Lugha za Kigeni cha Beijing. Kaulimbiu ya kongamano ilikuwa “Kuwasiliana na Utamaduni wa Ulimwengu ili Kuongeza Uelewa wa Kimataifa”. Zaidi ya watu 600 kutoka serikalini, vyuo vikuu vya ndani na nje ya nchi, wataalamu, wanafunzi na walimu wa BFSU wameshiriki kongamano hilo. Kongamano hili linakusudia kush...
Mnamo Septemba 4, sherehe ya kuwakaribisha wanafunzi wapya wa 2023 imefanyika hapa Chuo Kikuu cha Lugha za Kigeni cha Beijing. Kwa ujumla, wanafunzi wapya 3,267 wamejiunga na chuo hiki na kuanza maisha mapya.Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Prof. Wang Dinghua, Mkuu wa Chuo Kikuu cha BFSU Prof. Yang Dan na aliyekuwa Naibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano ya Kimataifa ya Kamati Kuu ya Chama cha Ki...
Tarehe 31 Agosti 2023, Jumuiya ya Elimu ya Juu ya China (CAHE) na Jumuiya ya Vyuo Vikuu vya Afrika (AAU) zimezindua Sekretarieti ya China ya Umoja wa Vyuo Vikuu vya China na Afrika katika BFSU.Mkuu wa CAHE Bw. Du Yubo, Makamu Mkuu wa CAHE Bw. Zhang Daliang, Katibu Mkuu wa AAU Prof. Olusola Oyewole na Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Prof. Wang Dinghua wamehudhuria sherehe ya uzinduzi huo.Chin...
Tarehe 9 Agosti, Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Stoney Brook cha Marekani Bw. Carl W. Lejuez na msafara wake wametembelea BFSU. Mkuu wa Chuo Kikuu cha BFSU Prof. Yang Dan amefanya mazungumzo na wageni hawa. Wamejadiliana kwa kina juu ya kuimarisha ushirikiano katika nyanja mbalimbali.
Hivi majuzi, Shirikisho la Vyuo Bora vya Biashara ya Kimataifa (AACSB) limetangaza kwamba Kitivo cha Biashara ya Kimataifa ya BFSU kimepata idhini ya kimataifa ya AACSB yenye muda wa miaka mitano baada ya kupigiwa kura na Kamati ya Awali ya Ithibati na kukubaliwa na Baraza la Ithibati.
Tarehe 31 Julai, Mkuu wa Chuo Kikuu cha Latvia Bw. Indriķis Muižnieks ametembelea BFSU. Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Prof. Wang Dinghua amekutana na Bw. Indriķis Muižnieks, na wamefanya mazungumzo juu ya kuimarisha ushirikiano katika nyanja mbalimbali ikiwa ni pamoja na utafiti wa ufundishaji wa lugha, uchapishaji wa pamoja, uratibu wa makongamano ya kitaaluma na kadhalika.
Hivi majuzi, jarida la Umoja wa Mataifa la UN Today limechapisha mahojiano na Mkuu wa BFSU Prof. Yang Dan kwa kichwa cha habari cha Reaffirming International Connections through Language.Katika mahojiano, Prof. Yang Dan ameeleza dhana na uzoefu wa BFSU wa kukuza mawasiliano ya kimataifa kupitia elimu ya lugha na huduma ya lugha, akabainisha mafanikio ya BFSU katika kukuza ushirikiano wa kimatai...
Hivi karibuni, Wizara ya Elimu imetangaza orodha ya washindi wa Tuzo ya Kitaifa ya Uchunguzi wa Elimu ya Juu, na miradi mitatu ya BFSU imeshinda tuzo hiyo.“Njia za BFSU za Kuwatayarishia Wanafunzi wa Lugha Mbalimbali Umahiri wa Kufanya Kazi Ulimwenguni” umepata tuzo daraja la kwanza. “Uchunguzi na Vitendo vya Njia ya Mafunzo kwa Wanafunzi wa Kozi la Kiingereza katika Enzi Mpya” umepata tu...
Mnamo tarehe 30 Juni, BFSU imefanya sherehe ya kuwasindikiza wanafunzi wanaotarajali katika nje ya nchi. Wageni wanaotoka mashirika mbalimbali yakiwemo Benki Kuu ya China, Wizara ya Elimu na kadhalika wamehudhuria sherehe hiyo.Mkuu wa Chuo Kikuu cha BFSU Prof. Yang Dan ametoa hotuba yenye mada ya “Kutekeleza majukumu ya ulimwengu na kuonyesha taswira ya China”. Pia, walimu wengine wanaoongoza...
Kuanzia tarehe 6 hadi 15 Juni, Mkuu wa Chuo Kikuu cha BFSU Prof. Yang Dan ameongoza ujumbe kutembelea vyuo vikuu na taasisi mbalimbali nchini Ufaransa, Uingereza na Uswisi. Wamejadiliana juu ya ushirikiano wa nyanja mbalimbali kati ya Chuo Kikuu cha Lugha za Kigeni cha Beijing na vyuo vikuu hivyo. Wametembelea ubalozi wa China nchini Ufaransa, ubalozi wa China nchini Uingereza na Ujumbe wa Kudu...
Mnamo tarehe 6 Juni, Mwenyekiti wa Chama cha SPD cha Ujerumani Bw. Lars Klingbeil ameongoza ujumbe kutembelea Chuo Kikuu cha Lugha za Kigeni cha Beijing (BFSU) na kutoa hotuba. Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Prof. Wang Dinghua na Makamu Mkuu wa Chuo Prof. Jia Wenjian wamekutana na Klingbeil na msafara wake. Bw. Klingbeil ametoa hotuba yenye mada ya "The Changing World Order" na kujibu maswa...
Kuanzia Mei 21 hadi 30, Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha BFSU Prof. Wang Dinghua ameongoza ujumbe kutembelea Ubelgiji, Hungaria na Uhispania. Wametembelea vyuo vikuu, shule, Taasisi za Confucius na mashirika mbalimbali vya nchi tatu wakijadiliana juu ya miradi ya kushirikiana na kutilia saini mikataba ya kupokeana wanafunzi. Wametembelea balozi za China nchini Ubelgiji, Hungaria na Uhispa...