CHUO KIKUU CHA LUGHA

ZA KIGENI, BEIJING

Mahafali ya Mwaka 2022 ya BFSU Yafanyika kwenye Mtandao

发布时间:2022-07-11

Mnamo Juni 29, mahafali ya mwaka 2022 ya Chuo Kikuu cha Lugha za Kigeni cha Beijing yamefanyika kwenye mtandao. Mwaka huu, wanafunzi 2,279 wametunukiwa shahada ya kwanza, wanafunzi 1,201 wametunukiwa shahada ya uzamili na wanafunzi 85 wametunukiwa shahada ya uzamivu. Makamu wa Mwenyekiti wa zamani wa SCLF Bw. Tang Wensheng, Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Prof. Wang Dinghua na Mkuu wa Chuo Kikuu Prof. Yang Dan wamehudhuria mahafali.


No. 2 North Xisanhuan Road, Beijing, P.R.China. (100089)

OFFICE FOR INTERNATIONAL EXCHANGE AND COOPERATION

OFFICE OF CONFUCIUS INSTITUTES

OFFICE FOR OVERSEAS STUDENTS AFFAIRS

GENERAL ADMINISTRATION OFFICE

Copyright@BFSU.Support by ITC