Tarehe 23 Machi, Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kitaifa cha Belarusi Bw. Andrei Karol ameongoza ujumbe kutembelea Chuo Kikuu cha Lugha za Kigeni cha Beijing. Mkuu wa Chuo Kikuu cha BFSU Prof. Yang Dan amezungumza na Bw. Andrei Karol, na vyuo vikuu viwili vimetilia saini mkataba wa kupelekeana wanafunzi.