CHUO KIKUU CHA LUGHA

ZA KIGENI, BEIJING

Mwana Mfalme wa Denmark Azuru BFSU

发布时间:2019-04-28

Septemba 27 asubuhi, Mwana Mfalme wa Denmark Frederik amefanya ziara katika chuo chetu akishuhudia uzinduzi wa Kituo cha Utafiti wa Denmark cha BFSU.

Hii ni mara ya pili ya Frederik kuzuru chuo chetu. Mwaka jana, alihudhuria ufunguzi wa Kombe la “China na Ulaya ya Kaskazini” la Soka uliofanyika katika chuo chetu.

No. 2 North Xisanhuan Road, Beijing, P.R.China. (100089)

OFFICE FOR INTERNATIONAL EXCHANGE AND COOPERATION

OFFICE OF CONFUCIUS INSTITUTES

OFFICE FOR OVERSEAS STUDENTS AFFAIRS

GENERAL ADMINISTRATION OFFICE

Copyright@BFSU.Support by ITC