ELIMU YA DIGRII
1. Programu ya shahada ya kwanza huendeshwa kwa miaka minne. Wanafunzi wakishamaliza kozi zote na kufaulu kwenye utetezi wa tasnifu ndipo wanatunukiwa cheti cha kuhitimu masomo na shahada ya kwanza
2.Programu ya shahada ya uzamili huendeshwa kwa miaka 2 au 3 ikitegemea programu yenyewe. Wanafunzi wakishatimiza alama zinazotakiwa na kufaulu kwenye utetezi wa tasnifu ndipo wanatunukiwa cheti cha kuhitimu masomo na shahada ya uzamili.
3.Programu ya shahada ya uzamivu huendeshwa kwa miaka 3. Wanafunzi wakishatimiza alama zinazotakiwa, kuchapisha kazi za utafiti na kufaulu kwenye utetezi wa tasnifu ndipo wanatunukiwa cheti cha kuhitimu masomo na shahada ya uzamivu.