- Ushirikiano wa Kimataifa
- Ushirikiano wa Kimataifa
- Ziara za Viongozi Mashuhuri wa Nchi za Nje
- Taasisi za Confucius
Ziara za Viongozi Mashuhuri wa Nchi za Nje
Rais wa Ureno Mhe. Cavaco Silva alifanya ziara katika chuo chetu.
Mei 2014
Waziri Mkuu wa Malaysia Mhe. Najib Razak alifanya ziara katika chuo chetu.
Mei 2014
Waziri Mkuu wa Ethiopia Mhe. Hailemariam Desalegn alifanya ziara katika chuo chetu.
Juni 2013
Rais wa Uruguay Mhe. José Mujica alifanya ziara katika chuo chetu.
Mei 2013
Waziri Mkuu wa Latvia Mhe. Valdis Dombrovskis alifanya ziara katika chuo chetu.
Septemba 2012
Mwana wa Mfalme wa Abu Dhabi Mhe. Mohammed bin Zayed Al Nahyan alifanya ziara katika chuo chetu.
Machi 2012
Rais wa Poland Mhe. Bronislaw Komorowski alifanya ziara katika chuo chetu.
Desemba 2011
Rais wa Sri Lanka Mhe. Mahinda Rajapakse alitunukiwa Shahada ya Uzamivu ya heshima.
Mwaka 2011
Rais wa Urusi Mhe. Dmitry Medvedev alizungumza na wanafunzi wa chuo chetu.
Mwaka 2010
Waziri Mkuu wa Hungary Mhe. Viktor Orbán alifanya ziara katika chuo chetu.